The Nine C - Penda Jirani lyrics

Published

0 174 0

The Nine C - Penda Jirani lyrics

Acha fitina Acha kuteta jirani yako ndugu yangu Kwa sababu shida iki kupata Yeye ndiye ataku sahidiya wa kwanza Oooh ooh Mungu anasema Penda jirani Penda jirani Acha chuki acha uongo Ina leta matenganyo kati jirani Tafuta masikilizano Oooh ooh Mungu anasema Penda jirani Penda jirani Mwenye anapenda ndugu yake Ana ishi katika mwangaza Ooh oh Uta sema jee una penda Mungu Kama una chuki kwa jirani Oooh ooh Mungu anasema Penda jirani Penda jirani Wewe ambae ume pata neema Yaku sikiya mwimbo iyi badirika Ukisha mpenda Ata kama yeye aku pendi Uta barikiwa na Mungu Penda jirani jinsi unaji penda Timiza neno la Bwana mina kuomba Usi chunge wakusifu kwa unacho tenda Penda kwa ukweli popote unapo enda