Elandre - Bonde Lyrics lyrics

Published

0 248 0

Elandre - Bonde Lyrics lyrics

Hook: Katika lile bonde ndipo, niliposimama Uvuli wa mauti, ukinitazama Ndipo yule Kristo alipolipa gharama Ndo nakiri kwamba yeye Yeye ndie alieniokoa ooooh - Ndie alieniokoa oooh yeah Yeye ndie alienitoa oooh katika lile bonde la uvuli wa mauti ooh Verse 1: Ran away from God cause I thought I wasn't really worth it Drinking, smoking, baby girl I'm like work it Life's a party so I'm like lemme go ‘head get wasted Cause I ain't got nothing to lose, I ain't got nothing to lose Nothing really makes sense kila kitu ka'upuuz Lakini nawaza jambo flani toka majuz Sina Amani, moyoni sina raha kuna kitu nakitamani I got everything that I need, mansions, Bentleys All material things but I ain't got peace I get these crazy dreams at night, I don't even know what they mean On the real I know I need help But this pride in me got these spells Like I'm in this long dark valley But I see light at the end of that alley Hook: Katika lile bonde ndipo, niliposimama Uvuli wa mauti, ukinitazama Ndipo yule Kristo alipolipa gharama Ndo nakiri kwamba yeye [Yeye ndie alieniokoa ooooh - Ndie alieniokoa oooh yeah Yeye ndie alienitoa oooh katika lile bonde la uvuli wa mauti ooh] x2 Verse 2: Now I know I gotta give him all the glory [eeyy!!] He alone is worthy to be praised Lift my hands up to the sky Gotta exalt his holy name Cause when I was dying he was there for me On my sick bed, lonely Couldn't even move a muscle like hoping Somebody would get me out of this whole thing But somebody was out there praying for me Interceding and waiting on Him Waiting on him, waiting on Him You know what I mean by waiting on Him [PUSH!!] Praying until something happens gotta be about it Say it until mountains flatten gotta think about it A lot of people out there still dwelling in the valley Of addiction afflicted by their own selfish rallies Ukiona giza jua Mungu hayuko mbali Mwisho wa siku yatupasa wote tumkubali Hook: Katika lile bonde ndipo, niliposimama Uvuli wa mauti, ukinitazama Ndipo yule Kristo alipolipa gharama Ndo nakiri kwamba yeye [Yeye ndie alieniokoa ooooh - Ndie alieniokoa oooh yeah Yeye ndie alienitoa oooh katika lile bonde la uvuli wa mauti ooh]