Angelique Kidjo - Malaika lyrics

Published

0 159 0

Angelique Kidjo - Malaika lyrics

Malaika, nakupenda Malaika. Malaika, nakupenda Malaika. Nami nifanyeje, kijana mwenzio, Nashindwa na mali sina, we, Ningekuoa Malaika. Nashindwa na mali sina, we, Ningekuoa Malaika. Pesa zasumbua roho yangu Pesa zasumbua roho yangu Nami nifanyeje, kijana mwenzio, Ningekuoa Malaika. Nashindwa na mali sina, we, Ningekuoa Malaika. Kidege, hukuwaza kidege. Kidege, hukuwaza kidege. Nami nifanyeje, kijana mwenzio, Nashindwa na mali sina, we, Ningekuoa Malaika. Nashindwa na mali sina, we, Ningekuoa Malaika.